- Kila mwaka: TSh 90,872,797,838.00
- Kila mwezi: TSh 7,572,733,153.17
- Kila wiki: TSh 1,747,553,804.58
- Kila siku: TSh 349,510,760.92
From the moment you arrived on this page, Rhett & Link has earned:
Mariah Carey ni albamu kutoka kwa Mariah Carey yenye jina lake mwenyewe, iliyotoka nchini Marekani tarehe 12 Juni 1990, kupitia katika studio za Columbia Records. Japokuwa mauzo ya albamu hii kwa kiasi fulani yalikuwa madogo, lakini yalimafanya Carey kuwa nyota nyumbani kwao. Albamu hii ilifanikiwa kufikisha nyimbo kadhaa katika nafasi ya kwanza katika chati ya Billboard.ya single bora 100, huku albamu yenyewe ikikaa kwa kipindi cha majuma kumi na moja katika nafasi ya kwanza katika chati ya Billboard 200. Albamu hii inashika nafasi ya ttu kwa upande wa mauzo ya albamu za Carey nchini Marekani, ikija baada ya ile ya Daydream ya mwaka 1995 na ile ya Music Box ya mwaka 1993. Albamu hii imefanikiwa kuuza nakala zaidi ya milioni 15 dunia nzima,.
Wikipedia page about Mariah Carey (albamu)