Mwanakandanda - Liverpool - Uingereza
Kuzaliwa:
1999, France
- Kila mwaka: TSh 11,843,812,072.00
- Kila mwezi: TSh 986,984,339.33
- Kila wiki: TSh 227,765,616.77
- Kila siku: TSh 45,553,123.35
From the moment you arrived on this page, Ibrahima Konaté has earned:
This summary is provided by Wikipedia
Ibrahima Konaté ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa kutokea nchini Ufaransa ambaye anacheza kama beki wa kati katika klabu ya Liverpool F.C. inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) na timu ya taifa ya Ufaransa. Akianzia na klabu Sochaux, Konaté alihamia RB Leipzig mwaka 2017. Baada ya miaka minne na klabu hiyo, Liverpool ilimsajili mwaka 2021 kwa ada ya paundi milioni 36. Alishinda kombe la EFL na kombe la FA katika msimu wake wa kwanza.
Wikipedia page about Ibrahima Konaté